Waik Mwaikusa  [洋書]
 
楽天市場検索
本・雑誌・コミック
洋書
  ART & ENTERTAINMENT (0)
  FICTION & LITERATURE (0)
  BUSINESS & SELF-CULTURE (4) (Waik Mwaikusa)
  FAMILY LIFE & COMICS (0)
  COMPUTERS & SCIENCE (0)
  SOCIAL SCIENCE (7) (Waik Mwaikusa)
  BOOKS FOR KIDS (0)
  REFERENCE & LANGUAGE (0)
  TRAVEL (0)
  その他 (0)
 
11件中 1件 - 11件  1
商品説明価格

Biblia Inasema Usiogope【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Kwa sababu ya woga watu wanapoteza fursa nyingi sana maishani. Wengine wamepoteza nafasi ya kupata mchumba mzuri kwa sababu ya woga, wengine kwa woga siku ya interview wakakosa kazi na bado wengine fursa za biashara zikawapita. Lakini Neno la Mungu liko wazi kwamba huna haja ya kuogopa yeyote wala chochote ila Mungu Mwenyezi. Katika kitabu hiki, <strong>Biblia Inasema Usiogope</strong>, mistari mbalimbali katika Maandiko Matakatifu inachambuliwa kumpitisha msomaji kuanzia kuona kwamba woga ni dhambi hadi namna za kuishinda hofu na kutembea jasiri kama impasavyo mtu mwenye imani.</p> <p>Hiki ni kitabu cha mafundisho ya Biblia yanayomfaa kila mtu lakini zaidi yule aliyebanwa na changamoto za kimaisha zinazomfanya ajawe na hofu kwa sababu ya kutoona uchochoro wa kutokea. Soma kitabu hiki na hutabaki mdhaifu tena.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Kuukulia Wokovu【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Kitabu hiki ni mwongozo mfupi kwa ajili ya kumwongoza mtu aliyeokoka katika imani kwa ya kumjenga na kumuimarisha. Mafundisho yaliyomo yanafaa pia kwa mtu aliyeokoka kitambo lakini hakuweza kupitia maelekezo ya awali ya wokovu. Hata kama umeshaokoka na kupitia mafundisho ya awali ya wokovu, kurudia tena siyo vibaya. Neno la MUNGU halina overdose.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 300円

Upako wa Kupata Utajiri【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Nguvu ya Mkristo kufanya lo lote afanyalo hutoka kwa Bwana. Hii nguvu ni Roho wa Mungu ambayo pia hujulikana kama Mkono wa Bwana au Roho Mtakatifu na katika Biblia huwakilishwa kwa picha ya mafuta, yaani upako. Hivyo Kumbukumbu la Torati 8:18 inavyosema "Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo" inamaanisha Mungu anawapa upako wa kupata utajiri. Upako huu ni kwa ajili ya Wakristo pia, watu wa Agano Jipya, lakini wengi hawajui kuhusu upako huu achilia mbali namna ya kuutumia. Kitabu hiki kinafafanua fundisho hili na kuonyesha ni wapi ambapo Wakristo wanashindwa kutumia upako wa kupata utajiri kubadilisha maisha yao kiuchumi.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Mbinu za Kupata Mume Mwema【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Mbinu za Kupata Mume Mwema ni kitabu kilichoandikwa ili kumsaidia binti au mwanamke wa Kikristo ambaye yuko tayari kujihusisha na mahusiano na mwanaume ili kuyakuza mahusiano na upendo wao hadi kufikia kufunga ndoa.</p> <p>Kitabu hiki kimeandikwa na mwanaume kwa hiyo kinakupa mbinu za kushinda changamoto za mahusiano- uchumba na ndoa, kutoka katika macho ya mwanaume. Ukisoma kitabu hiki utajua ni vitu gani ambavyo wanawake wanakosea katika mahusiano ya awali na uchumba na utajua ni mambo gani ufanye ambayo yatamfanya mwanaume akuone unafaa kuchumbiwa.</p> <p>Kitabu hiki kinaongelea hatua za awali kuanzia mnakutana mara ya kwanza na anakuomba namba ya simu mpaka inafika anaamua kukuchumbia ni mbinu gani zitakutofautisha na mabinti wengine wenye sifa za kuchumbiwa na mtu huyo huyo unayetamani akuchumbie wewe. Kama unataka mwaka usiishe uwe umeshachumbiwa ingawa sasa hivi huna hata boyfriend basi soma kitabu hiki leo na ukiweke katika matendo.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Wakae Pamoja kwa Umoja【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Kitabu hiki kinahusu Umoja kiBiblia; maana ya umoja, chanzo chake, umuhimu wa umoja, mambo yanayovunja umoja, jinsi ya kutengeneza umoja n.k.<br /> Lengo ni kusaidia Wakristo kuelewa umuhimu wa umoja ili kubadilisha maisha yetu kiroho na kimwili kuweza kupokea baraka zote tulizokirimiwa katika Kristo Yesu. Kisome ukielewe na kuwafundisha wengine. Kitabu hiki ni muhimu sana kwa kila Mkristo lakini hasa viongozi wa huduma mbalimbali na makanisa.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Tekeli: Hukumu za Mungu katika Maisha ya Kila Siku【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>"Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?" Marko 12:24. Kutojua maandiko wala uweza wa Mungu ni tatizo kubwa sana kwa mwili wa Kristo. Na Yeremia 9:23, 24 inasema, "Bwana asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema Bwana".</p> <p>Hapo Bwana Mungu amejitangaza kwamba yapasa watu wamfahamu na kumjua katika maeneo matatu, mtenda wema, hukumu na haki. Wakristo wengi wanajua na kuongelea sana kuhusu wema wa Mungu, na wengi pia wanaongelea suala la haki, hasa hasa kwamba tunahesabiwa haki kwa imani. Lakini ni wachache sana wanaomfahamu Mungu kama mtenda hukumu.</p> <p>Kama hujawahi kumfahamu Mungu kama mtenda hukumu siyo rahisi kuwa umemfahamu Mungu na uweza wake sawasawa, na hii imechangiwa na kutokufahamu maandiko hasahasa kwenye kipengele cha hukumu za Mungu. Kwa sababu Yesu alisema kupotea kunatokana na kutojua maandiko wala uweza wa Mungu, basi ni vema ukatumia muda wako kusoma kitabu hiki kilichobeba uchambuzi wa maandiko kuhusu utendaji wa Mungu katika hukumu. Fundisho hili litaongeza kiwango chako cha kumcha Mungu. Barikiwa!</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 300円

Mambo ya Kufanya Saa Yako Ikifika【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Saa yako kufika haimaanishi saa katika damu na nyama, kama vile saa saba mchana au saa ya kula chakula bali inamaanisha saa katika ulimwengu wa roho. Saa ni kipimo cha muda, katika ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho pia, lakini katika ulimwengu wa roho saa inasomwa kutokana na matukio. Kwa mfano, watu wanaweza kusema huyu amepona ajali mbaya kwa sababu saa yake haijafika.</p> <p>Na ninaposema mambo ya kufanya saa yako ikifika siyo lazima iwe saa ya kufa kwako lakini saa au siku ya kufikwa na jambo fulani ambalo limekuwa likisubiriwa katika ulimwengu wa roho. Saa yako ikifika katika ulimwengu wa roho huwa ni kama mtihani pia. Ukivuka kwa ufaulu unaenda kiwango kingine cha juu zaidi na ngazi njema zaidi katika Kristo Yesu. Katika kitabu hiki utajifunza mambo ya kufanya ili uweze kufaulu mtihani wako saa yako ikifika.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

How to Receive Money from God【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>HOW TO RECEIVE MONEY FROM GOD is a book about biblical financial promises to a believer. The Bible promises blessings to a believer and financial prosperity is part of the blessings. However, most Spirit filled born again Christians are far from realizing this blessing because of the lack of proper biblical knowledge on this matter. To make manifest financial blessing a believer needs more than just a shout of "I Receive!" Correct understanding and interpretation of Scriptures is needed coupled with the faith in what the Bible really means when it comes to the money. This book looks at some of the misinterpretation of Scriptures that have caused some to be very poor and shows what a believer can do to make financial blessings a physical reality. This is a concise biblical guide to prosperity.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Desa la Maombi【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Kitabu hiki ni maombi kwa ajili ya kukujengea uwezo wa kuendeleza maisha yako ya maombi wewe mwenyewe. Kuna maombi ya kuabudu, kuombea kanisa au watakatifu, kuombea mke na mume n.k.</p> <p>Kitumie uone ukipiga hatua kiroho.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円

Kweli Iliyofichika【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Wakati Pilato anamhoji Yesu aliuliza "Kweli ni nini?" (Yohana 18:38). Hilo ni swali ambalo linagonga vichwa hata leo hii ingawa Yesu alikuwa ameshaliongea sana. Biblia ina majibu kuhusu swali hilo ambalo ukijua jibu lake utapiga hatua sana kiroho na kimwili pia. Kitabu hiki, kwa ufupi sana, kinafichua kweli iliyofichika.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 300円

Jina la Yesu Linaponya【電子書籍】[ Msafiri J. Mwaikusa ]

楽天Kobo電子書籍ストア
<p>Hili ni somo la uponyaji. Ni mapenzi ya Mungu kutuponya lakini kinachotuzuia kupokea uponyaji ni kutofahamu maandiko. Ndiyo maana, Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu? (Marko 12:24). Kitabu hiki kinapambanua maandiko yanayohusu uponyaji.</p>画面が切り替わりますので、しばらくお待ち下さい。 ※ご購入は、楽天kobo商品ページからお願いします。※切り替わらない場合は、こちら をクリックして下さい。 ※このページからは注文できません。 450円